MAHARUSI WA AJALI YA KUSOMBWA NA MAJI YA MAFURIKO KUZIKWA KESHO ARUSHA
BLOG NO 1 TANZANIA !!
Maharusi hao, walifariki juzi baada ya kuzolewa na mafuriko wakiwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Premio, pamoja na ndugu wengine watatu. Diwani wa kata ya Sambasha, Roy Sabaya amesema marehemu hao watazikwa baada ya kukamilika taratibu za mazishi.
Arusha. Maharusi Munisi Roy (25) na Nembrice Munyaga (20) waliofariki kutokana na mafuriko Februari 24, wanatarajiwa kuzikwa kesho katika kijiji cha Ilkisongo Kata ya Sambasha wilayani Arumeru mkoani Arusha.
Maharusi hao, walifariki juzi baada ya kuzolewa na mafuriko wakiwa kwenye gari dogo aina ya Toyota Premio, pamoja na ndugu wengine watatu. Diwani wa kata ya Sambasha, Roy Sabaya amesema marehemu hao watazikwa baada ya kukamilika taratibu za mazishi.
Comments
Post a Comment