**habari24radio** WK END MIX INAENDELEA NOW BONYEZA LINK UPATE BURUDANI!!

KIPINDI HOT CHA MUSIC KATIKA UKANDA HUU WA AFRICA MASHARIK NA KATI

Kipindi ambacho kinaongoza kufuatiliwa na mashabiki zinapigwa ngoma mfululizo maongezi 0%
kinaendelea now kuanzia saa 2 usiku mpaka  kunakucha zinapigwa ngoma za Disco inamaana haina haja ya kwenda kwenye eneo la Burudani kwa kua burudani unaweza ukaipata nyumbani kwako nunua vinywaji  unganisha  simu yako kwenye Sobwoofer yako au  kwenye Radio yako ule ngoma au chukua ear phone  yako fungulia hadi mwisho upate burudani kwa asilimia 100 na nyuma ya mashine kaka mkubwa GK HIM SELF ntakua nasababisha  hii ni Redio yenu  wapenzi wa blog hii endeleeni kuipa sapot  kama mnavyoipa blog yenu pendwa

                         BONYEZA HAPO CHINI UINGIE KWENYE REDIO MOJA KWA MOJA!!



Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU