LEICESTER CITY YAIPASUA LIVERPOOL 3G YAIKANDAMIZA TAIRI ZA BAJAJI 3-1

                                               BLOG NO 1 TANZANIA !!


 Leicester City wamejikokota na kupanda hadi nafasi ya 15 katika msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuizaba Liverpool kwa mabao 3-1.                                                                                                                                
Leicester walionesha kiwango cha juu,   na magoli mawili kutoka kwa JamieVardy na moja kutoka kwa Danny Drinkwater yaliididimiza Liverpool.
Vardy, who was accused of playing a role in Claudio Ranieri's sacking, silences his critics by scoring against Liverpool 
Wakicheza chini ya kaimu kocha Craig Shakespeare, aliyechukua mikoba ya Ranieri, mabingwa hao wa England walicheza kama mabingwa watetezi.
Goli la kwanza la Jamie Vadry limekumbusha mtindo waliokuwa wakicheza msimu uliopita, baada ya pasi murua kutoka kwa Marc Albrighton iliyomfikia Vardy.
Danny Drinkwater caps off a perfect first-half performance from Leicester by volleying in a second goal to stun the Reds
Magoli haya ya Leicester ndio magoli ya kwanza kwa klabu hiyo kufunga mwaka huu wa 2017.
Vardy grabs his second goal of the night to make it 3-0, meeting Christian Fuchs' cross with this powerful header
Liverpool ambao wangeweza kupanda hadi nafasi ya tatu iwapo wangepata ushindi, sasa wamepoteza mechi tano kati ya saba walizocheza katika michuano yote.
With Leicester looking to keep a clean sheet against Liverpool, Coutinho pops up with a goal to make it 3-1 at the King Power
Haki miliki ya 

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU

Hii hapa ratiba ya michuano yote mikubwa ya leo hii,Shirikisho,Epl,La Liga,Bundesliga na Seria A