TRUMP AANZA KUMCHOKONOA OBAMA ASEMA NDIE ANAEPANGA MAANDAMANO DHIDI YAKE MAREKANI SOMA HABARI HIO HAPA!!

                                            BLOG NO 1 TANZANIA !!



"Nafikiri Rais Obama anahusika kwa sababu ni watu wake wanaohusika kwenye maandamanohayo," Trump alikiambia kituo cha Fox News.
Trump hakutoa ushahidi wowote kwa madai yake na Obama bado hajajibu lolote.
Trump pia alizungumzia bajeti na masuala mengine.


Alipoulizwa kuhusu maandamano yanayohusu amri ya kusaka. alisema kuwa ni wafuasi wa Obama waliohusika.
Trump anasema ataongeza bajeti ya jeshi kwa asilimia 10

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU

Hii hapa ratiba ya michuano yote mikubwa ya leo hii,Shirikisho,Epl,La Liga,Bundesliga na Seria A