BREAKING NEWS!! BASHE NA MSUKUMA WASHIKILIWA NA POLISI BAADA YA KUTWANGANA NGUMI KISA NI...
BLOG NO 1 TANZANIA !!
Habari tulizopenyezewa ambazo hazijathibitishwa bado zinasema Mbunge wa Geita vijijini na Bwana Joseph Kasheku 'msukuma' na mwenzake mbunge wa Nzega mjini pamoja na Adam malima wanashikiliwa na polisi baada ya kuvurumishishiana Ngumi kwenye kikao ikisemekana walifikia hatua hiyo kutokana na maamuzi ya timua timua yaliyofikiwa na kikao kilichomalizika leo baadae Tuutawaletea habari yote iliyokamilika
stay tuned!!

Habari tulizopenyezewa ambazo hazijathibitishwa bado zinasema Mbunge wa Geita vijijini na Bwana Joseph Kasheku 'msukuma' na mwenzake mbunge wa Nzega mjini pamoja na Adam malima wanashikiliwa na polisi baada ya kuvurumishishiana Ngumi kwenye kikao ikisemekana walifikia hatua hiyo kutokana na maamuzi ya timua timua yaliyofikiwa na kikao kilichomalizika leo baadae Tuutawaletea habari yote iliyokamilika
stay tuned!!
Comments
Post a Comment