CLOUDS WAENDA MAHAKAMANI BAADA YA UVAMIZI WALIOFANYIWA!!

                                                BLOG NO 1 TANZANIA !!

clouds1

Clouds media kesho wanafungua kesi mahakamani kutokana na uvamizi Wa ofisi yao
Mawakili Wa clouds media kesho watakuwa mahakamani asubuhi mapema wakiongozana na mkurugenzi Wa clouds media
Keshi inahusu uvamizi Wa ofisi zao na watu wanao julikanawakiongozwa na daudi bashite
Uvamizi huo umeleta sintofahamu katika ofisi zao lakini pia upotevu Wa mali na uharibifu Wa Mali za ofisi
Idara ya habari kwa umma clouds media

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU