HIVI NDIVYO VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO BLOG HII INAVIMILIKI SI YA MCHEZO MCHEZO!!
BLOG NO 1 TANZANIA !!
Uongozi wa Blog hii ya TANZANIA HOT NEWS ambayo haina muda mrefu lakini imekua chaguo la Watanzania na hata wasio wa Tanzania maana inasomwa sana hata nje ya mipaka ya Tanzania Tunaomba kuwafahamisha kua sisi Tumejikita katika kuhabarisha na kuburudisha ni kampuni ya kijana wa kitanzania ambae ana amini katika kujituma na kufanya kazi kwa nguvu mtaji wake kwa sasa ukiwa ni ujuzi aliokua nao kwa hio Tunaomba sana sapoti yenu kwa Vyombo vyetu vya Habari ambavyo ni Vichanga lakini vilivyojipanga vizuri Tumeona sehemu ambayo vyombo vingine vinapoteleza pia tumeona vyombo vingine vya habari vinapo pata mafanikio hivyo tumejifunza vya kutosha pia na bado tunaendelea kujifunza na kupokea ushauri na kuupima na kuufanyia kazi Tukiamini katika msemo kizuri kitajiuza kibaya kitahangaika kujitembeza na hakita takiwa.
Uongozi wa Blog hii ya TANZANIA HOT NEWS ambayo haina muda mrefu lakini imekua chaguo la Watanzania na hata wasio wa Tanzania maana inasomwa sana hata nje ya mipaka ya Tanzania Tunaomba kuwafahamisha kua sisi Tumejikita katika kuhabarisha na kuburudisha ni kampuni ya kijana wa kitanzania ambae ana amini katika kujituma na kufanya kazi kwa nguvu mtaji wake kwa sasa ukiwa ni ujuzi aliokua nao kwa hio Tunaomba sana sapoti yenu kwa Vyombo vyetu vya Habari ambavyo ni Vichanga lakini vilivyojipanga vizuri Tumeona sehemu ambayo vyombo vingine vinapoteleza pia tumeona vyombo vingine vya habari vinapo pata mafanikio hivyo tumejifunza vya kutosha pia na bado tunaendelea kujifunza na kupokea ushauri na kuupima na kuufanyia kazi Tukiamini katika msemo kizuri kitajiuza kibaya kitahangaika kujitembeza na hakita takiwa.
TUNAOMBA TUKUTAMBULISHE BLOGS ZETU NA REDIO ZETU
Hii ni blog inayohusu mambo ya Dini utasoma na kusikiliza Mahubiri pia na wewe unaweza kuhubiri
Hii ndio blog inayo ongoza kwa habari kwa sasa Tanzania kwa kua tunaweka habari kwa wakati
Blog hii imejikita kwenye habari za Burudani Ndani ya nchi na nje ya nchi utapata habari zote hapa
PIA TUNA REDIO ONLINE AMBAZO MALENGO YETU ZIWE FM BAADAE KIDOGO
Hii ni Radio ambayo Tanzania ilikua inaisubiri kwa muda mrefu redio hii itagusa maeneo yote ya
kihabari pamoja na kiburudani Tutakua na vipindi vitakavyogusa kila rika watu wazima ,vijana na wazee japo Tutasimamia sana kwenye Burudani lakini zitakua na mpangilio ambao hautabagua kundi la watu flani kama sasa ambapo redio nyingi zimekua zikipiga nyimbo za Aina moja na kuwafanya aina ya wasikilizaji wengine kua wakiwa hii itakua Redio ya wote karibu uisiilize iko katika kipindi cha majaribio bado hatuja anza vipindi Rasmi
BONYEZA HAPO CHINI KUISIKILIZA
Hii radio ya Dini Ambayo yenyewe imejikita katika kuhubiri Neno la MUNGU pia imejikita katika kutoa burudani ya nyimbo za injili pia kutangaza Albam za wasanii wa Nyimbo za injili kwa kua Redio hii inasikika ulimwenguni kote kwa kupitia Internet na tuna uzoefu mkubwa wa biashara za Internet tuna amini Albam itawafikia watu wengi zaidi Duniani karibu uisikilize iliwa bado kwenye kipindi cha Majaribio bado haijaanza vipindi Rasmi
BONYEZA HAPO CHINI KUISIKILIZA
TUNAKARIBISHA WOTE KUFANYA KAZI NA SISI ILI TUWEZE KUIONYESHA DUNIA VITU AMBAVYO TUNAVYO KICHWANI ILA TUNATATIZWA TU HALI YA KIUCHUMI TUNAPOKEA MATANGAZO YA BLOGS PIA YA REDIO PIA KAMA KUNA ANAETAKA KUA MDHAMINI WA KIPINDI CHOCHOTE ANAKARIBISHWA NA MILANGO IPO WAZI MAWASILIANO YETU NI HAYO HAPO CHINI
SMS: ONLY 0684 666320
CALL: 0656 176261
CALL: 0653 429494
EMAIL godsonkiondo24@gmail.com
EMAIL habari24radio@gmail.com








Comments
Post a Comment