PROF.LIPUMBA AONEKANA USIKU AKIWA NA VIGOGO WA CCM DODOMA
BLOG NO 1 TANZANIA !!
Mwenyekiti
wa CUF anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa Professor Ibrahim
Lipumba alionekana jana usiku akiwa katika hoteli waliyopanga vigogo
kadhaa wa CCM Zanzibar wanaohudhuria vikao vya chama hicho Dodoma.
Haikuweza
kufahamika mara moja kama Lipumba alikuwepo kama mwalikwa ingawa
ilishangaza kumuona nyakati za usiku katika hoteli hiyo akiwa na vigogo
hao wa CCM Zanzibar.
Lipumba anatuhumiwa na CUF kwamba anakihujumu chama hicho na amekuwa akishirikiana na CCM kutaka kukiangamiza.

Comments
Post a Comment