TRUMP: HONGERA SANA WAJINA WANGU JOHN POMBE WATANZANIA WATAFANYIWA YA KIPEKEE KWA AJILI YAKO NA AMERICA

                                                BLOG NO 1 TANZANIA !!

Rais wa Marekani Donald Trump amempongeza rais wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kwa kuwa mfano mzuri wa viongozi wa Afrika.
Wakati akisaini sheria ambayo itakuwa ikizuia waafrika kutoka nchi ambazo marais wake hawafanyi lolote na wale ambao wamegoma kuondoka madarakani, Trump amesema rais Magufuli ni mfano wa viongozi bora wa Afrika na nchi yake inastahili kutendewa kipekee.
Trump ameongeza kuwa sheria hiyo itaziathiri nchi kama Zimbabwe, Uganda na nyingine za Afrika ambazo marais wake wamekataa kuondoka madarakani wakiwa hawafanyi lolote na kusema kuwa Tanzania si miongoni mwazo kwa kuwa wajina wake rais John Pombe Magufuli anafanya kazi nzuri.
Kwa mujibu wa Rais Trump , Watanzania hawatazuiwa kwenda Marekani na watapewa upendeleo maalum kwa hisani ya rais Magufuli.
Trump amehitimisha kwa kumpongeza Rais Magufuli kwa uongozi wake akisema "Hongera wajina wangu John Magufuli, wewe ni shujaa wa Afrika".Chanzo RFI Kiswahili.

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU