Wananchi Wasikitishwa na Yaliyomkuta Mange Kimambi, Wamlazimisha Kumchangia.
BLOG NO 1 TANZANIA !!


Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa.

Comments
Post a Comment