‘Mbatia atimize ahadi la sivyo nitavua nguo’-Mrema

                                                 BLOG NO 1 TANZANIA !!


 Mwenyekiti wa bodi ya Parole Augustino Mrema  amemtaka mbunge wa Vunjo James Mbatia atimize ahadi yake ya kumpelekea mfuko wa sukari kilo 50 kila mwezi pamoja na majani ya chai kama alivyoahidi kwenye kampeni zake mwaka 2015.
Mrema amesema tangu Mbatia amekuwa mbunge hajawahi kwenda kumuona na ameongeza endapo hatampelekea sukari hiyo atavua nguo. abaki uchi
 download application yetu upate habari kwa wakati 


Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU