ROMA MKATOLIKI AVAMIWA USIKU NA KUKAMATWA NA KUPELEKWA KUSIKO JULIKANA

                                                    BLOG NO 1 TANZANIA !!

ROMA MKATOLIKI AMEKAMATWA USIKU WA KUAMKIA LEO…
Nimestushwa sana kusikia kuwa kuna watu wamevamia studio za TONGWE RECORDS majira ya saa moja usiku na wamemchukua ROMA @roma2030 , MONY @moni_ centrozone na kijana wa Kazi na pia wamechukua COMPUTER ya studio na Screen (Tv) na wameondoka navyo kusikojulikana..
Mpaka sasa hatujui wamewapeleka wapi!!
Alichoandika Professor J

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU