Siasa imevamiwa na ‘manungayembe’ – Nape Nnauye

*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************



Aliyekua waziri wa habari, sanaa na michezo, ambaye ni mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, amesema kuwa siasa ni ushindani wa hoja sio nguvu, baada ya Jumamosi hii, Chama wa wananchi CUF, kuvamiwa na Watu wasiofahamika, wakiwa na bastola na kuvamia mkutano huo uliotakiwa ufanyike Mabibo jijini Dar es salaam .

Mheshimwa Nape ameonesha kusikitishwa na tukio hilo, huku akihoji ‘Tunaenda wapi kama watu wanachukulia siasa ni nguvu.’
“Siasa ni ushindani wa HOJA sio NGUVU! Tunaenda wapi huku jamani?! Wanavamia na kutoroka??!! How?!! Siasa imevamiwa na manungayembe sasa,” ameandika Nape kupitia ukurasa wake wa Tweeter.
Sambamba na kuweka ujumbe huo, aliambatanisha na picha ya tukio hilo 
 download application yetu upate habari kwa wakati 

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU

Mbwana Samatta ageuka lulu Ujerumani