simba yashinda mpira wa mezani yapewa pointi 3 za kagera sugar

                                                   BLOG NO 1 TANZANIA !!

Hatimaye kamati iliyokaa leo imebaini Timu ya kagera Sugar ilimchezesha mchezaji wake Muhamad Fakhy hukunakiwa na kadi 3 za njano ambalo ni kosa kisheria.sasa Timu ya simba imepatiwa point 3 na magoli mawili na hivyo kupelekea Kagera Sugar kupokwa point 3 na magoli 2.Katika mchezo huo Simba ilifungwa goli 2-1 na Kagera Sugar

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU