TAFADHALI USIKOSE KUSIKILIZA KIPINDI CHA ZILIPENDWA KUANZIA SAA 10:00 JIONI MPAKA SAA12:00 JIONI
BLOG NO 1 TANZANIA !!
Mpenzi msomaji wetu wa Blog ya TANZANIA HOT NEWS leo kutakua na kipindi kikali cha Zilipendwa kitakachorushwa na Redio Mama ya blog hii kwa hio tunakuomba ukae tayari kupata burudani itakayokukumbusha enzi zako na kukumbuka maisha uliyopitia sehemu ulizojikwaa kujua namna ya kuvivuka vikwazo na sehemu ulizopatia katika maisha yako kuiendeleza tafadhali nenda pembeni juu upande wa kulia bonyeza redio 24 usikilize kipindi upate burudani bure kabisaaa

Comments
Post a Comment