Ajali Mbaya Kabisa! Yatokea Yaua Familia Nzima Ni Huzuni Tazama Zaidi Hapo Ujionee

Ni ajali mbaya kabisa kutokea! ambayo imesababisha kupoteza maisha ya watu wote waliokuwa ndani ya hilo gari ambapo walikuwa ni familia wanatoka kwenye ibada siku ya Jumapili. Inasikitisha sana huwezi amini ni kumshukuru Mungu peke kwa kuwa tunatembea na kifo mkononi.
Angalizo tuwe makini na matumizi ya barabara ili tuweze kuepuka kuvunja sheria na kuhatarisha usalama wetu barabarani.


download application yetu upate habari kwa wakati 

02May2017

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU