Popular posts from this blog
MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU
BLOG NO 1 TANZANIA !! Pamoja na kwamba awali, beki wa kati wa Simba Mwanjale alionekana anarejea na kuwa fiti, daktari amemuongezea siku zaidi. Mwanjale atakuwa nje kwa matibabu kwa siku 15 kabla ya kurejea mazoezini. Imeelezwa, goti aliloumia linahitaji mapumziko wakati akiendelea na matibabu. Matarajio ni kuanza mazoezi wiki ijayo ingawa inawezekana hatacheza mechi mbili za mwanzo au zote za Kanda ya Ziwa.
Hii hapa ratiba ya michuano yote mikubwa ya leo hii,Shirikisho,Epl,La Liga,Bundesliga na Seria A
BLOG NO 1 TANZANIA !! Paul Mnjale,Dar Es Salaam. Afrika -Caf Confenderation Cup 14:30 CNaPS vs Recreativo 16:00 Yanga SC vs Mc Alger 16:00 KCCA vs Al Masry 16:00 BV Wits vs Smouha 17:00 Mounana vs Asec England -Premer League 14:30 Tottenham vs Watford 17:00 Manchester City vs Hull City 17:00 Stoke City vs Liverpool 17:00 Middlesbrough vs Burnley 17:00 West Bromwich vs Southampton 17:00 West Ham vs Swansea 19:30 Bournemouth vs Chelsea Hispania -Primera Divisiòn (Laliga) 14:00 Espanyol vs Alavés 17:15 Real Madrid vs Atletical Madrid 19:30 Sevilla vs Deportivo La Coruña 21:45 Málaga vs Fc Barcelona Germany -Bundersliga 16:30 Freiburg vs Mainz 05 16:30 Hu...
Comments
Post a Comment