Mbunge Australia anyonyesha mtoto bungeni


mama mbunge
Senator kutoka jimbo la Queensland nchini Australia, Larissa Waters, ameweka historia bungeni hapo alipomleta kazini na kumnyonyesha mwanaye wa miezi miwili ikiwa ni mara ya kwanza na hivyo kutengeneza historia hiyo nchini humo.
mama mbunge2
Larissa Waters amerejea kazini baada ya likizo ya uzazi na mwanaye huyo, huku akiwa tayari kutumia uhuru wake wa sheria mpya inayowaruhusu wazazi ambao ni senator,nchini Australia kuja na vichanga vyao na vilevile kuwanyonyesha punde wanapopatwa na njaa.
Hii unaionaje mdau hasa kwa hapa kwetu?
download application yetu upate habari kwa wakati 

Comments

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU

Hii hapa ratiba ya michuano yote mikubwa ya leo hii,Shirikisho,Epl,La Liga,Bundesliga na Seria A