Zambia: Kuanzia Sasa Kila Mwananchi ni Lazima Apimwe UKIMWI, Sio Hiari Tena

Rais wa Zambia, Edgar Lungu, ametangaza kwamba wananchi wote wanaofika katika vituo vya afya vya serikali wapimwe virusi vya Ukimwi kwa lazima, wapatiwe ushauri nasaha na tiba.

Rais Lungu amesema, sera hiyo mpya inaenda sawia na agenda ya serikali ya kutokomeza virusi vya HIV nchini humo ifikapo mwaka 2030.

Katika tangazo hilo, kiongozi huyo amesisitiza umuhimu wa kulinda maisha ya wale walioathirika na wale ambao wako hatarini kuambukizwa virusi hivyo.

Amesema, licha ya sera hiyo kukiuka haki ya mtu kupima kwa hiari lakini akasisitiza kuwa hakuna mtu mwenye haki ya kuweka rehani maisha ya binadamu mwenzake.

Sera hiyo inakiuka muongozo wa Shirika la Afya Duniani, WHO, na Shirika la Ukimwi la Umoja wa Mataifa, UNAIDS, unaohamasisha watu kupima Vvu na kupata ushauri nasaha kwa hiari.

Zambia ni miongoni mwa nchi zenye kiwango cha juu cha maambukizi ya ugonjwa huo kusini mwa bara la Afrika ikiwa na asilimia 11.6 huku watu walio na umri wa miaka kuanzia 15 mpaka 49 wakiishi na virusi vya ukimwi.

Comments

  1. Hujambo
    Mimi ni vivian Regobert
    ni kuweka maoni hii kwa wale ambao VVU na wanahitaji tiba
    Tiba ya Dk Muli Jonathan Herbal ni 100% kuhakikisha uhakika wa tiba ya VVU.
    Yeye kutibu aina yoyote ya ugonjwa.
    MUME wangu na alikuwa VVU kwa zaidi ya mwaka 9.
    Nilikuwa mgonjwa sana na mzigo wangu virusi alikuwa > 225,000 wa nakala/ml
    Niliona post kuhusu Dr Muli Jonathan mtandaoni jinsi ina kutibiwa watu wengi na jinsi sana yeye imesaidia watu wengi mtandaoni
    hivyo kuwasiliana naye na alielezea hali yangu kwake
    Aliahidi Nitumie dawa zake za mitishamba na baada ya 4days nilipokea dawa ya mitishamba
    MUME wangu na kutumika kwa dawa za mitishamba kwa ajili ya 10days na kisha akaenda kwa ajili ya mtihani upya
    Na sasa sisi ni HASI VVU
    Asante Dr Muli Jonathan kwa ajili ya kurejesha amani kwa familia yangu
    Mimi nina kushiriki ushuhuda huu kwa sababu niliahidi Dr Muli Jonathan kwamba mimi watakishuhudia baada ya mimi kuwa wamekuwa na kutibiwa.
    Inaweza kufikia Dr Muli Jonathan kupitia:
    mulijonathanherbal@Gmail.com
    Simu/Whatsapp: +2349038544302

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

MWANJALE AONGEZEWA SIKU NYINGIZE ZA MATIBABU

Hii hapa ratiba ya michuano yote mikubwa ya leo hii,Shirikisho,Epl,La Liga,Bundesliga na Seria A