Posts

Showing posts from April, 2017

MANGE KIMAMBI AZIDI KUJIZOLEA SIFA SASA HARAKATI ZAKE ZAOMBEWA NA WACHUNGAJI SOMA HAPA!!

Image

LOWASA AFUNGUKA KUHUSU JINA LA MWANAE KUA KWENYE YA LISTI YA VYETI FEKI

Image
     habari inayo Gonga vichwa vya watu ni kuhusu vyeti feki kubwa zaidi ni Pale Jina la mtoto wa Lowassa kuwemo kwenye List ya wenye vyeti feki kiendo ambacho kime Mfedhehesha sana Lowassa na kusema kuwa Hata lifumbia macho hili swala la Mwanaye kuwekwa kwenye List ya vyeti feki 

HAYA HAPA NDIO MAJINA YA WALIOGUSHI VYETI YASOME YOTE HAPA!!

Image
aneno ya rais Magufuli sasa yatimia rasmi, majina ya watumishi hewa sasa Hadharani wakiwemo vigogo hawa waliojitokeza. Huu ni ukweli usipingika kuwa hawa ndio watumishi hewa kila mmoja ahamaki kuyaona majina haya ya watu wazito yakiwemo kwenye orodha hii. Jaribu kutazama kwa makini majina hayo na kuyasoma moja baada ya jingine kwani utamuona kila mmoja sehemu anayofanya kazi na jina lake halisi. Mkoa wa Arusha wageuka kinara.

DAAH!! MSIKILIZE ZITTO HAPA :ZIITO ATUMBUA JIPU JUU YA UNUNUZI WA NDEGE KUMBE RWANDA WALIZIKATAA KWA AJILI YA UBORA WAKE???

Image
Sakala la Serikali kusemekana imenunua ndege ya Boeing ambayo ina walakini imechukua sura mpya baada ya Mbunge Zitto Kufunguka Haya Hapa chini kupitia page yake ya Facebook:

BREAKING NEWS: Tetemeko jingine latokea Bukoba

Image
PICHA KUTOKA MAKTABA   kutokea mtaa wa Rwamishenye manispaa ya Bukoba kwamba limetokea tetemeko. Amesema tetemeko hilo ambalo limetokea mida ya saa saba na nusu usiku huu wa kuamkia April 30, lilidumu kwa sekunde zisizozidi 15.

MBUNGE WA CCM ATUHUMIWA KWA KUHUJUMU UCHUMI

Image
MBUNGE wa Kwimba, Mwanza, Shannif Mansour (CCM), anatuhumiwa kugoma kulipa kodi ya eneo lake la ardhi lenye ukubwa wa hekta 39,000, kiasi cha zaidi ya Sh. 500 milioni tangu mwaka 2010. Mansour kupitia kampuni yake ya Sineji Tanzania Limited, anatuhumiwa kuigomea serikali kulipa kiasi hicho cha fedha kwa madai yeye hawezi kulipa fedha hizo kwa kuwa anafahamiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, William Lukuvi. Eneo hilo la Mansour na kampuni yake inayojihusisha na utengenezaji wa malighafi za ujenzi ikiwemo kusaga kokoto, lililopo kata ya Buhongwa, Nyamagana pia baadhi ya wananchi wanalalamika kulaghaiwa fedha za fidia za maeneo yao.

NAY ANUSURIKA KUTEKWA AFUATWA NA NOAH NYEUSI AKIMBIZANA NAYO NA KUKIMBILIA POLISI

Image
WAKATI hofu ya kutekwa ikiwa juu, msanii wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amenusurika kutekwa na watu wasiojulikana, Kwa mujibu wa chanzo makini, Nay alipatwa na maswaibu hayo mwishoni mwa wiki iliyopita wakati alipokuwa anatoka kwenye shoo aliyoifanyia Kigamboni jijini Dar.

HALIMA MDEE AMLIPUA WAZIRI ANGELLAH KAIRUKI BILA WOGA SOMA HAPA ALICHOKIANDIKA

Image

MAUAJI YA KUTISHA MWANZA: BABA ,MAMA,MTOTO WAUAWA KINYAMA KWA....

Image
Katika eneo la tukio la mauaji hayo mlango wa nyumba ulikuwa umefungwa kwa nje, na mara baada ya

NILETEENI "KIPRE TCHETCHE" MUONE YANGA ITAKAVYOTISHAA!!

Image
BEKI wa Yanga, Vincent Bossou, amesema mshambuliaji wa zamani wa Azam, Kipre Tchetche, ni muhimu katika kikosi hicho. Tchetche ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu Al-Nahda-Buraimi ya  Oman, ametajwa ni mshambuliaji pekee anayeweza kuisaidia Yanga.

MAKONDA AZIDI KUPETA SERIKALI YASEMA CHEO CHAKE KINAHITAJI MTU ANAEJUA TU KUSOMA NA KUANDIKA!! DUUUUH!!!

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi Bora Mhe. Angellah Kairuki amebainisha baadhi ya mambo waliyokuwa wameyapa kiupambele katika zoezi zima la uhakiki wa vyeti feki kwa kusema zoezi halikuweza kuhusika na viongozi wa kisiasa.

Huyu Ndiye Shabiki Anayedaiwa Kufanana Zaidi na Lionel Messi

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Iran HUYU pichani ni Lionel Messi?Hapana!!Ni shabiki wa soka wa nchi ya Iran,Riza Perestes ambaye amejizolea umaarufu mkubwa pande nyingi za dunia kutokana na kufanana na nyota huyo wa Barcelona na Argentina.

LIVE BILA KUKATIKA KATIKA : Rais John Magufuli akipokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa Vyeti vya Watumishi wa Umma

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Fuatilia matangazo ya moja kwa moja ya Rais John Magufuli akipokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa Vyeti vya Watumishi wa Umma kutoka kwa Waziri Angellah Kairuki- ukumbi wa Chamwino, Chuo kikuu cha Dodoma

TUNAOMBA RADHI KWA HIZI PICHA Ukweli Wawekwa Hadharani Simba aliejeruhi mtu

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Kufuatia kusambaa kwa taarifa tofautitofauti zisizo za uhakika katika mitandao ya kijamii kuhusu Simba aliyejeruhi watu katika nje ya Hifadhi ya Tarangire.Shirika la Hifadhi za Taifa limeondoa mkanganyiko huo kwa kuweka bayana kuwa aliyejeruhiwa na Simba huyo ni mtumishi wa(mlinzi) wakambi ya watalii iliyopo nje ya Hifandhi ya Tarangire maarufu kwa jina la Maramboy Tented Camp inayomilikiwa na watu Binafsi.

LISSU, KABUDI WATOANA JASHO DK 20

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* GWIJI na mwalimu wa sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, ambaye pia ni Waziri wa Katiba na Sheria, juzi alipimana ubavu wa kujenga hoja na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa zaidi ya dakika 20.

Meli kubwa ya kijasusi ya Urusi yazama Uturuki

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Meli ya kijasusi ya Urusi imezama baharini katika pwani ya Uturuki baada ya kugongana na meli ya kubeba mizigo, maafisa wa uchukuzi wa baharini wa Uturuki wamesema.

LOWASSA NA RAIS MAGUFULI WAINGIA ULINGONI UCHAGUZI WA KENYA

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Wageni kutoka Jamhuri ya Kenya wakiongozwa na wabunge 13, Madiwani, Machifu na Maleigwanan kutoka Kenya mchana wa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Edward Ngoyai Lowassa nyumbani kwake kijijini Ngarash, jimbo la Monduli wakiongozana na vikundi mbalimbali vya Wajasiriamali kutoka Wilaya mbalimbali za Mikoa ya Arusha na Manyara.

Waziri Masauni: Waliolipua Bomu Nyumba ya Kamishna wa Polisi Zanzibar ni Viongozi wa CUF

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema viongozi waandamizi wa chama cha wananchi (CUF) ndiyo walihusika na tukio la kulipua bomu katika nyumba ya Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar baada ya kufanyika uchaguzi mkuu

Ndesamburo Aibuka na Kufichua Yaliyojificha Sakata la Richmond..Amshukia Dk Mwakyembe Livee

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Moto aliouwasha Mwenyekiti wa Kamati teule ya Bunge iliyochunguza sakata la Richmond, Dk Harrison Mwakyembe, umemuibua mwanasiasa mkongwe nchini, Philemon Ndesamburo. Ndesamburo ambaye ni miongoni mwa waasisi wa mageuzi nchini, alisema Dk Mwakyembe alificha baadhi ya taarifa za sakata hilo ili kuilinda Serikali na mhusika mkuu.

Mgonjwa Muhimbili Ajirusha Kutoka Gorofani Alikolazwa

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* MGONJWA aliyelazwa wodi namba sita ya Jengo la Mwaisela katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) amenusurika kifo baada ya kujirusha kutoka ghorofa ya kwanza. Aidha, uongozi wa MNH umeanika sababu ambayo kijana huyo (jina tunalihifadhi) ameeleza kuhusu kilichomsukuma kuchukua uamuzi huo mgumu wa kujirusha kutoka ghorofani. Tukio hilo lilitokea jana majira ya saa nne asubuhi

DIAMOND NA ALIKIBA WAGOMA KUIMBA WIMBO WA SERENGETI BOYS

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************

Hussein Bashe Aipa Makavu Serikali ya Kenya Kwa Kuzuia Gesi ya Tanzania

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Mbunge wa Nzega mjini, Hussein Mohamed Bashe amesikitishwa na Serikali ya Kenya kuweka zuio la kuingiza mitungi ya gesi inayotoka Tanzania kwa kusema ni vizuri nchi hiyo ikaheshimu mikataba ya 'East African Community (EAC)' .

Chadema Yakanusha kupoke barua ya bunge Inayowataka Wapeleke Majina ya Wagombea ubunge wa Afrika Mashariki (EALA).

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema kuwa hakijapokea barua yeyote kutoka bungeni ikiwataka kupeleka majina ya wagombea ubunge wa Afrika Mashariki (EALA).

Live: Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Aprili 27, 2017

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************

**kama ulikua hujui** BINADAMU MWENYE UMRI MREFU ZAIDI DUNIANI ANAISHI TANZANIA.

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Jonah Kyejo 12 hrs BINADAMU MWENYE UMRI MREFU ZAIDI DUNIANI ANAISHI TANZANIA. Ndugu Ambilikile Mwanyaluke Panja Mkazi wa Kijiji cha Majengo Kata ya Ihanda ndiye Binadamu aliye na  Umri mkubwa kuliko wanaodaiwa kushikiria Rekodi ya kula Chumvi nyingi Duniani kwa sasa.

Dortmund yaisambaratisha Bayern Munich na kufuzu fainali DFB Pokal

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Munich,Ujerumani. Borussia Dortmund sasa itakutana na Eintracht Frankfurt kwenye mchezo wa fainali wa kuwania kombe la Ujerumani maarufu kama DFB Pokal baada ya usiku huu kuifunga Bayern Munich mabao 3-2 kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa dimbani Allianz Arena. Marco Reus aliipa uongozi Borussia Dortmund baada ya kuifungia bao la kwanza katika dakika ya 19 akitumia vyema makosa ya Javi Martinez aliyerudisha mpira nyuma bila kuangalia na kumkuta mfungaji. Dakika ya 28 Javi Martinez alisawazisha makosa yake na kuifungia Bayern Munich bao la kusawazisha kabla ya Mats Hummels kuongeza bao la pili katika dakika ya 41 na kufanya mchezo uende mapumziko matokeo yakiwa 2-1. Kipindi cha pili kilikuwa kizuri zaidi kwa Borussia Dortmund kwani waliweza kuwabana vyema wenyeji wao Bayern Munich na kufanikiwa kupata mabao mawili ya dakika za 6...

PSG YAICHANA CHANA MONACO 5-0 UNAJUA ILIKUAJE? SOMA HAPA FULL ISHU

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Paris,Ufaransa. WACHEZAJI wa Paris St-Germain (Pichani) wakipongezana baada ya usiku huu kuibomoa Monaco mabao 5-0 katika mchezo wa nusu fainali wa kuwania kombe la ligi uliochezwa kwenye dimba la Parc des Princes.

ARSENAL YAIPASUA LEICESTER CITY NA KUIKARIBIA KWA KASI TOP FOR

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Arsenal wamefufua matumaini ya mbio za Ligi ya mabingwa ulaya baada ya kuwachapa mabingwa watetezi wa Ligi Leicester City goli 1-0 bao pekeee likifungwa na  Nacho Monreal .

HALIMA Mdee ..Asimama na Kumuomba Radhi Spika wa Bunge Kwa Matusi

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Mbunge wa jimbo la Kawe kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Halima Mdee jana amefunguka na kuomba radhi bungeni kufuatia kutoa lugha isiyokuwa na staha bungeni wakati wa uchaguzi wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki uliofanyika April 4, 2017.

DIEGO COSTA AFIKISHA MAGOLI 50 LIGI KUU UINGEREZA SOMA WENGINE WALIOFIKISHA MAGOLI HAYO MAPEMA ZAIDI

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* London,England DIEGO Costa ameingia kwenye vitabu vya kumbukumbu baada ya kufikisha nusu karne (mabao 50) ligi kuu nchini England.

MEYA WA JIJI LA DAR ES SALAAM AKIONDOKA UWANJA WA NDEGE KUELEKEA IRAN KIKAZI

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Meya wa Jiji la Dar es Salaam,Isaya Mwita akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam jana jioni tayari kwa safari kuelekea Nchini Iran kwa ziara ya kikazi ya siku kumi. (PICHA ZOTE NA ELISA SHUNDA)

Watuhumiwa Wagoma Kushuka kwenye Basi la Magereza

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Na Pamela Mollel, Arusha Baadhi ya mahabusu wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi jijini Arusha aprili 25 wamegoma kushuka katika gari la magereza kwa madai kuwa hawatendewi haki kwa kesi zao kutosikilizwa hali inayowalazimu kukaa mahabusu kwa muda mrefu bila kujua hatima yao.

Baba atiwa mikononi mwa polisi kwa kumbaka mtoto wake

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ******************** Baba mmoja  aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Mademba (39) mkaazi wa Kianga atiwa mikononi mwa polisi kwa kosa la  kumbaka mtoto wake wa kambo mwenye umri wa miaka 13.

SAKATA la Bosi wa UN Kufukuzwa Latua Bungeni.

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Sakata la kufukuzwa nchini la bosi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania, Awa Dabo, limetua bungeni. Mbunge wa Mbozi, Pascal Haonga(Chadema) akizungumza bungeni leo,  aliitaka serikali kufafanua sababu za kumfukuza nchini Mkurugenzi Mkazi huyo wa UNDP Tanzania kwa kumpa saa 24. Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge aliliambia bunge kuwa serikali ina mamlaka yote katika masuala ya kidiplomasia na hivyo bunge haliwezi kuhoji  sababu za mkurugenzi huyo kufukuzwa. download application yetu upate habari kwa wakati 

NAY WA MITEGO ANYOOSHA MIKONO JUU AAPA KUHUDUMIA WANAE BAADA YA KICHAMBO CHA HAJA JUZI

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Baada ya kuporomoshewa maneno ya kashfa kwenye mitandao na mzazi mwenzake kwa kushindwa kumtunza mtoto zaidi ya kumuweka tuu kwenye mitandao ya kijamii na kujisifu, Nay wa mitego amekiri kubadilika na kuanza kumuhudumia binti yake.

LIVE: Kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni leo April 25, 2017

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************

KIJANA KUTOKA USWAHIILINI ASIESOMA HATA DARASA 1 AUNDA NDEGE NA IMESHAFIKIA HATUA YA KURUKA!!

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Fredrick Onyango kijana wa umri wa miaka 25 huwashangaza wengi Nairobi kutokana na ndege yake ambayo licha ya kutopata masomo yoyote amefanikiwa kuiunda hadi kufikia baadhi ya sehemu zake kuanza kufanya kazi. Onyanyo ambaye kwa miaka mingi ameishi

HEBU KISOME !! ALICHOKIONGEA FAKHI WA KAGERA SUGAR KUHUSU SIMBA

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Hatimaye mchezaji wa Kagera Sugar, Mohamed Fakhi amefuguka ya moyoni na kusema anamshukuru Mungu suala lake limeweza kuisha huku akidai furaha na amani kurejea katika familia yake kutokana na kurudishiwa ushindi wao kutoka kwa timu ya Simba Fakhi amesema hayo baada kuisha lile vuguvugu la muda mrefu lililokuwa linamuandama kutoka kwa wapinzani wao Simba SC wakidai kuchezeshwa  katika mechi akiwa na kadi tatu za njano na kupelekea kupokwa matokeo yao hapo awali.  "Namshukuru Mungu suala hili limekwisha vizuri....kwa timu yangu kurudushiwa point zake najiona mwenye furaha, amani imerejea familia yangu nayo imetulia kwani suala hili liliwaweka kwenye 'tention' kubwa. Alisema mchezaji huyo Vile vile Fakhi amewashukuru viongozi wake wa Kagera Sugar pamoja na wachezaji wenzake kwa sapoti waliyokuwa wanampa muda wote huku akisisitizia kuwa nguvu yote sasa...

UTEUZI wa Jokate Mwegelo waichana UVCCM vipande viwili

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Uteuzi  wa Miss Tanzania namba mbili wa mwaka 2006, Jokate Mwegelo kuwa Kaimu Katibu wa Uhamasishaji wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, unaonekana kutaka kuivuruga jumuiya hiyo.

ROLI LAUWA WANAFUNZI WA 2 KIGOMA WAKATI WANATOKA SHULE

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi Nyaruyoba Salima Hamza (10) na Nyamweru Matokeo (12), wakazi wa Kijiji cha Busunzu Wilaya ya Kibondo, mkoani Kigoma, wamefariki dunia papo hapo baada ya kugongwa na lori aina ya Scania na tela lake walipokuwa wanatoka shuleni.

MFANYABIASHARA Achomwa Visu 14 na Kaka’ke..!!!

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************  Mfanyabiashara wa samaki, Warioba Mtatiro, mkazi wa Kijiji cha Etalo, Musoma Vijijini, amedaiwa kujeruhiwa vibaya kwa kisu na kaka yake (jina tunalihifadhi).

Siasa imevamiwa na ‘manungayembe’ – Nape Nnauye

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************

ANGALIA LIVE HAPA: Yanayojiri Bungeni Dodoma leo Aprili 24, 2017

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Tazama hapa moja kwa moja kutoka Bungeni Dodoma kipindi cha Maswali na Majibu katika Bunge la 11, Mkutano wa Saba leo Aprili 24, 2017.

Skyner Ampa Makavu Nay wa Mitego

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Msanii wa hip hop, Nay wa mitego amechezea kichambo kutoka kwa mzazi mwenzake ambaye ni muigizaji wa filamu za bongo, Skyner Ally kuwa ameshindwa kuwa baba bora kwa binti yake.

SIMBA MEZA YAVUNJIKA!! POINT ZARUDISHWA KAGERA SUGAR FC

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** ********************* Hatimaye Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeipokonya pointi tatu Simba SC, ilizokuwa imepewa kutoka kwa Klabu ya Kagera Sugar. Awali, Simba ilikuwa imepewa ushindi wa mezani wa pointi tatu na magoli matatu dhidi ya Kagera Sugar, baada ya mchezo wake na timu hiyo ya mkoani Kagera kumalizika ikiwa imepigwa magoli 2-1. Ushindi huo wa mezani ulitokana na malalamiko kuwa Kagera Sugar ilimchezesha mchezaji aliyekuwa na kadi tatu za njano, hivyo hakuwa na sifa za kushiriki mchezo huo kwa mujibu wa kanuni na sheria za Soka. Akitangaza uamuzi wa kurejesha matokeo ya awali ya uwanjani leo katika ukumbi wa Habari wa TFF, Katibu Mkuu wa shirikisho hilo, Selestin Mwesigwa alisema kuwa sababu zilizopelekea Kamati kuchukua uamuzi huo, ni pamoja na kucheleweshwa kwa malalamiko ya Simba SC dhidi ya Ka...

Alicho kiandika JERRY MURRO BAADA YA MANARA KUFUNGIWA

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************

Alichokiandika HAJI MANARA usiku huu juu ya kufungiwa kwake

Image
*********************** ****** BLOG NO 1 TANZANIA !!**** *********************